Genesis 10:2-5

Wazao Wa Yafethi

2 aWana wa Yafethi walikuwa:
Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Mesheki na Tirasi.
3 bWana wa Gomeri walikuwa:
Ashkenazi, Rifathi na Togarma.
4 cWana wa Yavani walikuwa:
Elisha, Tarshishi, Kitimu na Rodanimu.
5(Kutokana na hawa mataifa ya Pwani yalienea katika nchi zao, kwa koo zao katika mataifa yao, kila moja kwa lugha yake.)
Copyright information for SwhNEN